Thursday, August 8, 2013

KITALU CHA MADINI CHA EKARI 9.8 KINAUZWA TANGA!!!

KUNA KITALU CHA KUCHIMBA MADINI YA DHAHABU KILICHOPIMWA NA KINA HATI YA SERIKALI!
PAMEFANYIWA UTAFITI NA PAMEPIMWA, UKIWA KAMA MTU BINAFSI AU KAMPUNI AMA TAASISI, BASI UNAKARIBISHWA KUNUNUA KITALU KIMOJA!

KITALU HIKI KINA UKUBWA WA EKARI 9.8

KITALU HIKI KINAUZWA 350M, KAMA UNAHITAJI NA KUPATA MAELEZO YA KINA ZAIDI, BASI TUWASILIANE KUPITIA 0713 883797

JIPATIE KIWANJA SAFI KABISA KIGAMBONI,DAR ES SALAAM!!!

JIPATIE VIWANJA KWA KUJENGA NYUMBA YA KUISHI AMA NYUMBA YA BIASHARA;

1. KIWANJA 20x54m KWA 3.5M (KARIBU SANA NA BARABARA)

2. KIWANJA 50x50m KWA 4.5M (KINAFAA SANA KWA MAKAZI)

N.B; VIWANJA VYOTE HIVI VIKO KM 20 TOKA FERRY!

KAMA UNAHITAJI TAFADHALI FANYA HIMA TUWASILIANE KUPITIA 0713 883 797

Tuesday, August 6, 2013

OKOA MAISHA YA WATOTO YATIMA HAWA...KWA KUCHANGIA CHAKULA!!

SHALOM!
HABARI ZENU WAPENDWA!!
NINAAMINI MNA MOYO WA UPENDO, TENA WA KUWAJALI WENGINE KULIKO NINYI, NA HATA ZAIDI BIBLIA INASEMA UPENDO WA KWELI NI ULE WA KUWAPENDA WENGINE ZAIDI.
*****HANANASIFU ORPHANAGE CENTRE (HOCET)....HAWANA CHAKULA KABISAAAAA NA WEWE NA MIMI PEKEE NDIO TUNAWEZA KUWALISHA KWA SIKU 120, KABLA HAWAJAANZA KUJITEGEMEA****
LEO NINALO OMBI MAALUM KWENU, NI MUHIMU SANA SANA....KUNA KITUO KIMOJA CHA KULELEA WATOTO YATIMA (WATOTO WA MUNGU), KITUO KINACHOENDESHWA NA WATU TU WALIOJITOLEA, NA HAPO AWALI KILIKUWAQ KINAFADHILIWA NA WAZUNGU FULANI, LAKINI BAADA YA KUONA WATOTO HAO WAMEKAZANA NA MUNGU NA HAO WAZUNGU (WAFADHILI) WAKAWEKA MASHARTI, ETI KAMA WAKITAKA WAENDELEE KUPOKEA MISAADA YAO BASI WAACHANE NA HAYO MAMBO YA YESU YESU....NA KWA KUWA HAKUNA BABA MWINGINE ZAIDI YA MBINGUNI NA HAKUNA  NAMNA BINADAMU ANAWEZA KUISHI KWA MISAADA YA BINADAMU MWINGINE BAADA YA KUMKANA MUNGU WA KWELI.
 
SASA WATOTO HAO WAKO KWENYE ENEO LAO LA SHULE WANASOMA NA WANAYO MIRADI AMBAYO BADO HAIJAANZA KULETA FAIDA ILI WAWEZE KUJIENDESHA WENYEWE, NAHIYO ITAKUWA HIVYO TU BAADA YA MIEZI MITATU AU MINNE KUANZAIA SASA.
WATOTO HAWA KWA SASA HAWANA CHAKULA KABISA, NA HATA LEO WAMEKULA KWA MSAADA WA KIJANA MMOJA ALIJITOLEA YEYE BINAFSI NA FAMILIA YAKE....MBALI NA GHARAMA NYINGINE ZA UENDESHAJI KAMA MISHAHARA/POSHO ZA WALIMU;
************************************************************************************************
KITUO HIKI KINATUMIA UNGA KILO 30, MAHARAGE KILO 14 NA SUKARI KILO 5....NA IKIWA NI WALI,BASI HUHITAJIKA KILO 30 ZA MCHELE KWA MLO MMOJA....NA PIA UNAWEZA KUCHANGIA MAFUTA NA FEDHA KWA AJILI YA VITU VINGINE VINAVYOWEZA KUHITAJIKA.
************************************************************************************************
NINAAMINI KWA MSAADA WA WATANZANIA WOTE WENYE MAPENZI MEMA NA WATOTO WA KITANZANIA, WATOTO HAWA HAWATAKOSA CHAKULA KWA SIKU HIZI 120 ZA MPITO KABLA HAWAJAANZA KUJITEGEMEA WENYEWE, SIO LAZIMA ULETE MSAADA MKUBWA SANA, LAKINI NAAMINI UNAWEZA UKAJITOLEA CHAKULA KIASI JAPO KWA SIKU MOJA TU KAMA SIO TATU, YAWEZA KUWA WEWE BINAFSI AU KAMPUNI AU FAMILIA AU KANISA, LAKINI NINACHOKIAMINI NI KUWA KAMA KWELI TUNAAMINISHA KUMPENDA MUNGU NA KUWAPENDA WATOTO WATANZANIA TENA WANAOLELEWA KATIKA MALEZI YA KIMUNGU BASI LAZIMA WATOTO HAWA WATAISHI BILA HOFU YA CHAKULA KWA SIMU HIZI 120, NA KWA HAKIKA BWANA ATAKUBARIKI SAWASAWA NA IMANI YAKO KWAKE
YAK 1:27 "....DINI ILIYO SAFI ISIYO NA TAKA MBELE ZA MUNGUBABA NI HII, KUWATAZAMA WAJANE NA YATIMA KATIKA DHIKI YAO NA KUJILINDA NA DUNIA PASIPO NA MAWAA"
MSAADA HUO UNAHITAJIKA SANA SANA, NAAM KWA NAMNA YOYOTE ILE UNAYOWEZA KUCHANGIA BASI USISITE,FANYA HIVYO...SADAKA YAKO YA KUWALISHA WATOTO HAWA HAITASAHAULIKA HATA KIDOGO, UNAWEZA KULETA MCHANGO WAKO WA CHAKULA PALE OFISI ZA NIIM COMPUTERS, MOROCO HOTEL AU UKATUMA MCHANGO WAKO WA FEDHA KWA NJIA YA SIMU, NAAM KWA MAULIZO ZAIDI 
TAFADHALI WASILIANA NA WASIMAMIZI NA WARATIBU WA ZOEZI HILI KWA NO.
0713 26 1425 na 0754 527955, pia 0783 757051
KWA NIABA YA WASIMAMIZI WA KITUO HIKI NINAWASHUKURU HATA KABLA HAMJAFANYA JAMBO LOLOTE MAANA NAAMINI UMEGUSWA NA UKO TAYARI SASA KUWASAIDIA WATOTO HAWA...KAMA TUNAWEZA KUCHANGIA SHEREHE ZA HARUSI, NAFIKIRI HATMA YA WATOTO HAWA NI ZAIDI,MUNGU AKUBARIKI UNAPOMSHIRIKISHA NA MWENZAKO!!
 
Imeandikwa na
KING CHAVALA MC
KWA UDHAMINI MKUBWA WA CHAVALA IDEAS PLATFORM.

Monday, August 5, 2013

NOTHING CALLED "TIME MANAGEMENT" IN REALITY!!!

Hello Entrepneurs, what's up?
Hope you are doing fine and you are still thriving to make better life by this one and that one.

I am sure you have attended several seminars, workshops and others of that kind and perhaps you have come across words like "PRINCIPLES OF SUCCESS"; "PRIORITIZE YOUR EFFORTS" AND "TIME MANAGEMENT".....ETC.

But personally i have gained interest on this one "TIME MANAGEMENT"

I have been pondering and meditating the detail of this statement and finaly i came to realize that there is Nothing like that in Reality.



WHAT IS TIME?

Time is a dimension in which events can be ordered from the past through the present into the future, and also the measure of durations of events and the intervals between them. Time has long been a major subject of study in religion, philosophy, and science, but defining it in a manner applicable to all fields without circularity has consistently eluded scholars.Nevertheless, diverse fields such as business, industry, sports, the sciences, and the performing arts all incorporate some notion of time into their respective measuring systems. Some simple, relatively uncontroversial definitions of time include "time is what clocks measure" and "time is what keeps everything from happening at once".
Two contrasting viewpoints on time divide many prominent philosophers. One view is that time is part of the fundamental structure of the universe — a dimension independent of events, in which events occur in sequence. Sir Isaac Newton subscribed to this realist view, and hence it is sometimes referred to as Newtonian time.The opposing view is that time does not refer to any kind of "container" that events and objects "move through", nor to any entity that "flows", but that it is instead part of a fundamental intellectual structure (together with space and number) within which humans sequence and compare events. This second view, in the tradition of Gottfried Leibniz and Immanuel Kant, holds that time is neither an event nor a thing, and thus is not itself measurable nor can it be travelled.
Time is one of the seven fundamental physical quantities in the International System of Units. Time is used to define other quantities — such as velocity — so defining time in terms of such quantities would result in circularity of definition.An operational definition of time, wherein one says that observing a certain number of repetitions of one or another standard cyclical event (such as the passage of a free-swinging pendulum) constitutes one standard unit such as the second, is highly useful in the conduct of both advanced experiments and everyday affairs of life. The operational definition leaves aside the question whether there is something called time, apart from the counting activity just mentioned, that flows and that can be measured. Investigations of a single continuum called spacetime bring questions about space into questions about time, questions that have their roots in the works of early students of natural philosophy.
Furthermore, it may be that there is a subjective component to time, but whether or not time itself is "felt", as a sensation or an experience, has never been settled.
Temporal measurement has occupied scientists and technologists, and was a prime motivation in navigation and astronomy. Periodic events and periodic motion have long served as standards for units of time. Examples include the apparent motion of the sun across the sky, the phases of the moon, the swing of a pendulum, and the beat of a heart. Currently, the international unit of time, the second, is defined in terms of radiation emitted by caesium atoms (see below). Time is also of significant social importance, having economic value ("time is money") as well as personal value, due to an awareness of the limited time in each day and in human life spans.

WHAT IS MANAGEMENT? 

Management in all business and organizational activities is the act of coordinating the efforts of people to accomplish desired goals and objectives using available resources efficiently and effectively. Management comprises planning, organizing, staffing, leading or directing, and controlling an organization (a group of one or more people or entities) or effort for the purpose of accomplishing a goal. Resourcing encompasses the deployment and manipulation of human resources, financial resources, technological resources, and natural resources.
Since organizations can be viewed as systems, management can also be defined as human action, including design, to facilitate the production of useful outcomes from a system. This view opens the opportunity to 'manage' oneself, a prerequisite to attempting to manage others.

For that reason SOMEONE CAN ONLY MANAGE HIS/HER ACTIVITIES IN ORDER TO BE IN TIME!!

SO LET IT BE KNOWN THAT, NO ONE CAN HAVE CONTROL OVER TIME BUT YOU CAN HAVE CONTROL OVER YOUR ACTIVITIES!! 

PHORNESIS WEAR....SPECIALIZED IN DESIGNING,FASHION,PRINTING AND MODELING!!





OFFICIAL WEARING SPONSORS OF KING CHAVALA MC!!!

THERE ARE VARIETY OF DESIGNINGS....JUST YOUR CHOICE!!!
GET EXECUTIVE SUITS, CASUAL SUITS, PROFFESSIONAL WEARS FOR PEOPLE SUCH AS PASTORS,LAWYERS.JUDGES,DOCTORS,DRIVERS,SCHOOL UNIFORMS,GRADUATION GOWNS AND MANY OTHER PROFFESSIONALS PER YOUR ORDER!!!

WE ARE DOING DESIGNING FOR ARTISTS AND DIFFERENT PERFOMERS, WEDDINGS AND FOR OTHER EVENTS!!

WE ARE DOING MAKERTING AND MODELLING FOR DIFFERENT OTHER DESIGNERS!!

PHORNESIS WEAR....Smartness is Wisdom!!

Hotline +255 713 883 797

Sunday, August 4, 2013

KWANINI NINAMKUBALI SANA DR.REGINALD MENGI!!

inaendelea.....
NINAAMINI NINA MENGI YA KUSHARE NA DK.MENGI....NAAM NINA MENGI YA KUSHARE NA NINYI KUHUSU MENGI,LAKINI  NINAAMINI TUTAFAIDIKA WOTE KATIKA HILI...KAKA NA RAFIKI YANGU ERIC SHIGONGO NI MMOJA WA WATU AMBAO WANAMTAZAMA SANA DK MENGI KAMA DIRA NA ERIC ANATAMANI SANA SIKU MOJA AMPITE KABISA MENGI NA HII NI KWASABABU AMEPEWA MWANGA NA KUHUSIWA MENGI NA DK MENGI natamaniVIJANA WA KITANZANIA TUJIFUNZE TOKA KWA WAZEE WETU,NAAM WALE WALIOKULIA KATIKA MAZINGIRA YETU NA SIO KUSOMA TU HABARI ZA KINA BILL GATES NA KYOSAKI WA MBALI HUKO AMBAO HATA MAZINGIRA YA MAISHA YAO HAYAFANANI NA SISI!!!

MENGI ANASEMA..."UKITAKA FEDHA/MSAADA LAZIMA UWE NA WORKABLE IDEA KWANZA AMBAYO UNAYO HAKIKA KUWA INA MANUFAA NA HIYO ITADHIBITIKA TU KAMA UMESHAANZA KUFANYIA KAZI IDEA HIYO,HATA KAMA NI KWA KIWANGO CHA CHINI"

 ...USITAMANI TU KUOMBA HELA KILA WAKATI NA SIO KILA AKUNYIMAE HANA ILA HAONI FAIDA YA KUKUHARIBU KWA KUKUPA KITU USICHOJUA KUKIHANGAIKIA MWENYEWE...."OMBA NYAVU-UFUNDISHWE KUVUA,SIO KUOMBA SAMAKI NA BADO UNAAZIMA PA KUKAANG'IANITAENDELEA TENA WAKATI MWINGINE KUKUJUZA KWANINI HASA  NINAMUHESHIMU NA KUMKUBALI MFANYABIASHARA HUYU WA KICHAGA!!

......TO BE CONTINUED!!!